ZFDA YATEKETEZA TANI 42.5 YA MCHELE ULIOHARIBIKA ZANZIBAR
Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDA) imeteketeza tani 42.5 za Mchele wa mapembe aina ya Chereko ulioingizwa nchini kutoka India na Kampuni ya Zenj General Mechandiser baada ya kubainika umeharibika na haufai kwa matumizi ya binadamu. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kuuteketeza katika Jaa la Kibele, Mkoa wa Kusini Unguja, Mkuu […]
