Wizara Ya Afya yatiliana saini mkataba wa kuipatia hospitali ya Mnazimmoja vifaa vya kutibu mifupa
Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto inakusudia kujaza vifaa tiba kamili katika kitengo cha matibabu ya mifupa kilichoko katika hospitali ya rufaa Mnazimmoja mjini Zanzibar. Hatua hiyo inalenga kutoa huduma za uhakika kwa wagonjwa wenye mahitaji ambao hufika hospitalini hapo. Mkurugenzi tiba wa wizara hiyo Dkt. Juma Salum Mbwana, amesema katika […]