MKURUGENZI KINGA NA ELIMU YA AFYA AZUNGUMZA NA WAANDISHI ZANZIBAR.

Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Dk,Fadhill Mohamed Abdalla akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Tahadhari zilizochukuliwa kujikinga na Maradhi ya Corona yaliozuka katika Nchi ya China hafla iliofanyika Ofisini kwake Wizara ya Afya Mnazimmoja Zanzibar Wananchi wametakiwa kufika katika Vituo vya Afya kwa ajili ya uchunguzi na kupatiwa matibabu mara watapobaini kuwa na […]

Loading