DAKTARI DHAMANA WILAYA YA MJINI AWATAKA WANAMICHEZO KUJITOKEZA KWA WINGI KUPATIWA CHANJO YA UVIKO
Fundi Mkuu wa Uwanja wa Amani, Jumanne akipiga chanjo ya UVICO 19 aina ya JOHNSON JOHNSON, huko Uwanja wa Amani Wilaya ya Mjini. Daktari Dhamana Wilaya ya Mjini Ramadhan Mikidadi Sleiman, amewataka wanamichezo na jamii kiujumla kujitokeza kwa wingi kupatiwa chanjo ya uviko (Covid 19) ambayo inapatikana bure katika vituo vya afya 44 kwa Zanzibar […]