TAARIFA YA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA (COVID-19) NCHINI
Wizara ya Afya Tanzania, inatoa taarifa kuwa kati ya sampuli zilizopimwa katika Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii jana tarehe 16 Aprili, 2020 na leo Aprili 17, 2020 zinaonyesha kuwepo kwa wagonjwa wapya 53 wenye maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19) nchini. Wagonjwa hawa wote ni watanzania ambao wameripotiwa katika mikoa ya Dar es […]
