ZANZIBAR YAANDAA ENEO LA KUWAWEKA WAGONJWA WA CARONA PINDI WAKITOKEA

Mganga Mkuu wa Serekali ya Tanzania bara Prof. Muhammed Bakari Kambi akizungumza na wandishi wa habari kuhusu mashirikiano na wenzao wa Zanzibar juu ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona pindi ukingia nchini. Ujumbe wa Wataalamu wa Afya kutoka Tanzania Bara na Zanzibar Umetembelea jengo la dharura  lililotengwa kwa ajili ya matibabu ya wagonjwa watakaogundulika na […]

Loading