WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AWATAKA WANANCHI KUCHUKUWA TAHADHARI ZAIDI KUKABILIANA NA MARADHI YA CORONA

Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed akiwa na Msaidizi Meneja Programu ya Ukimwi, Homa ya Ini, Kifua Kikuu na Ukoma Issa Abeid Mussa wakionyesha ujumbe wa madhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani huko Wizara ya Afya wakati wa mkutano wa wandishi wa habari. Wananchi wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari zaidi ya kinga katika kukabiliana na […]

Loading