WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR HAMAD RASHID AZUNGUMZA NA WAANDISHI

Waziri wa Afya Hamad Rashid akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Maradhi ya Korona yalioingia katika baadhi ya Nchi Duniani ambapo hadi sasa Zanzibar na Tanzania kwa Jumla hakuna maradhi hayo na kuelezea Tahadhari za kujikinga zilizochukuliwa na Serikali ikiwa ni pamoja na madawa na Vifaa vya kujikingia hafla iliofanyika ukumbi wa Wizara hio […]

NAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI

Naibu Waziri wa Afya Harous Said Suleiman akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Uzinduzi wa Zoezi la Utoaji wa Matone ya Vitamin A na Dawa za Minyoo kwa Watoto litakaloanza tarehe 5/12/2019 katika vituo vyote vya Afya Unguja na Pemba hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Wizara hio Mnazi mmoja Zanzibar. Wizara ya Afya Zanzibar […]

Loading