WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR HAMAD RASHID AZUNGUMZA NA WAANDISHI
Waziri wa Afya Hamad Rashid akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Maradhi ya Korona yalioingia katika baadhi ya Nchi Duniani ambapo hadi sasa Zanzibar na Tanzania kwa Jumla hakuna maradhi hayo na kuelezea Tahadhari za kujikinga zilizochukuliwa na Serikali ikiwa ni pamoja na madawa na Vifaa vya kujikingia hafla iliofanyika ukumbi wa Wizara hio […]