Picha: Baraza la Maafisa wa afya Zanzibar lakutana na Waziri. Posted in News and Events By News Room On April 19, 2021April 21, 2021 Baraza la Maafisa wa afya Zanzibar limefika ofisini kwa Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Zanzibar Mh. Ahmed Nassor Mazrui kwa lengo la kujitambusha kwa Waziri.