ZFDA YAFUNGIA KIWANDA CHA KUZALISHA SANITIZER FEKI KIEMBESAMAKI

Mkuu wa Kitengo cha Vipodozi wa ZFDA Salim Hamad Kassim akiwaonyesha waandishi wa habari Dawa ya Kuoshea Mikono (SANITAIZER) ambayo haina Kiwango iliyotengenezwa na Kiwanda cha Oil Cam kilichopo Kiembesamaki, Wilaya ya Magharibi ‘B’ Unguja. Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imekifunga kiwanda cha kutengeneza dawa za kukosha mikono (SANITIZER) baada ya kubainika dawa […]

Loading