UONGOZI WA WIZARA YA AFYA KUFANYA KIKAO CHA MAJUMUISHO YA KAMATI YA USTAWI WA JAMII YA BARAZA LA WAWAKILISHI

Naibu Waziri wa Afya Harusi  Said  Sleiman akitoa ripoti ya robo ya pili ya utekelezaji wa majukumu ya kazi katika Wizara ya Afya  kwa  Wajumbe wa Kamati ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar  huko katika ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazimmoja .  Naibu Waziri wa Afya Harusi Said Suleiman  amesema  kumebainika kuwepo […]

Loading