WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA UJUMBE WA UN

Mwakilishi Mkaazi Wa Shirika La Afya Duniani (Who) Zanzibar Dkt. Andemichael Ghirmay akiukaribisha ujumbewa wa UN kwa Waziri wa Afya Zanzibar walipofika Ofisini kwake pamoja na kutoa maelezo kuhusu juhudi zinazochukuliwa na Serikali katika kuimarisha huduma za Afya Zanzibar. Mashirika ya kimataifa un, who na unicef yameeleza kuridhishwa na huduma bora za afya zinazotolewa na […]

Loading