MAADHIMISHO YA SIKU YA FIGO DUNIANI YAFANYIKA ZANZIBAR

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk Fatma Mrisho akitoa hotuba ya Maadhimisho ya Siku ya Figo Duniani yaliofanyika katika Uwanja wa Hospitali Mnazi Mmoja Zanzibar Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt Fatma Mrisho amesema hospitali za kisasa zinazojengwa katika maeneo mbali mbali nchini zitakuwa na vitengo maalum vya kusafisha damu kwa wagonjwa wa maradhi […]

WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA WOCKHARDT HOSPITAL

Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui afanya mazungumzo   na ujumbe kutoka Hospital ya Wockhardt ya Nchini India yenye lengo   la kuimarisha sekta ya Afya Zanzibar ,huko Ofisini kwake Mnazimmoja Mjini Zanzibar. Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Mhe. Nassor Ahmed  Mazrui amesema madaktari bingwa […]

UFUNGUZI WA KITUO CHA AFYA KIDIMNI, WILAYA YA KATI UNGUJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na   Balozi wa Korea Nchini  Bw.Kim Sun Pyo (katikati)  wakata utepe kufungua Kituo cha Afya cha Kidimni Wilaya ya kati Unguja leo, Kilichojengwa  na Serikali kwa kushirikiana na Washirika wa Maendeleo  ya NOAH   Delvelopment Association/ Taasisi ya Good People    kutoka Nchini Korea,(wa pili kulia) Mke wa Rais wa […]

Loading