WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AZINDUA BODI YA PILI YA USHAURI YA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Dk. Haji Mwemvura akimkaribisha Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed kuzindua Bodi hiyo katika hafla iliyofanyika Ofisi ya Mkemia Mkuu Maruhubi. Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashidi Mohamed ameishauri Bodi ya mpya ya Ushauri ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kuangalia uwezekanao […]

Loading