TIMU YA MADAKTARI KUTOKA CUBA NA ZANZIBAR KUTOA TAARIFA YA TAFITI ZAO HUKO KATIKA SKULI YA AFYA MBWENI

Timu ya Madaktari kutoka CUBA na Zanzibar waliowasilisha  tafiti mbali mbali za maradhi wakiwa na Viongozi wa Serikali ya Zanzibar (aliyekaa  katikati ) , Waziri wa Afya  Hamad  Rashid(  kushoto) Waziri wa Elimu Riziki Pembe Juma  na Balozi wa CUBA  Profesa Lucas Domingo  huko Skuli ya Afya Mbweni Zanzibar Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed imesema […]

SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR NA SERIKALI YA JAMHURI YA CUBA IMESAINI MKATABA WA UIMARISHAJI HUDUMA ZA AFYA ZANZIBAR

Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed na Balozi wa Cuba Professor Lucas Domingo Hernandez  wamesaini Mkataba wa uimarishaji huduma za afya kwa wananchi wa  Zanzibar, Hafla hiyo imefanyika  huko Ofisini kwake Wizara ya Afya Mnazimmoja Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Cuba imetiliana saini  mkataba wa uimarishaji  wa huduma za Afya […]

WIZARA YA AFYA YATILIANA SAINI MKATABA WA UNUNUZI WA DAWA NA BOHARI KUU YA DAWA MSD ZANZIBAR

Mkurugenzi Mkuu Wizara ya Afya Dk Jamala Taibu kulia akitiliana saini na Meneja wa Kanda ya Dare-es-Salaam Bohari kuu ya Dawa MSD Celestine Haule  mkataba wa makubaliano wa Ununuzi wa Dawa baina ya Wizara ya Afya na Bohari kuu ya Dawa MSD hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazi mmoja Zanzibar. Wizara ya […]

Uzinduzi wa Mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata Utepe wa Vitabu vya Mpango kama ishara ya Uzinduzi rasmi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Idris Abdulwakil RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, alisema serikali ina wajibu […]

MKUTANO WA KIKANDA WA KUPAMBANA NA MARADHI YA VIKOPE (TRACHOMA) WAFANYIKA ZANZIBAR

Mkurugenzi mradi wa kupambana na maradhi ya vikope Duniani , Paul Emerson, akielezea juu ya juhudidi zinazochukuliwa kuhakikisha maradhi ya vikope yanaondoka duniani kote. Msaidizi Meneja Kitengo cha Maradhi yasiyopewa kipaumbele Salum Abubakar (alieshika maiki) akijibu maswali ya wajumbe wa mkutano huo mara baada ya kuwasilisha mada ya uzoefu wa Zanzibar kama kisiwa katika kupambana […]

WAZIRI WA AFYA HAMAD RASHID APOKEA MSAADA WA VIFAA TIBA ZANZIBAR

Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed akipeana mikono na  Mwenyekiti wa Taasisi ya Kiislamu ya Muzdalifat Sheikh Abdalla Hadhar Abdalla ikiwa ni ishara ya kupokea kwa Msaada wa Vifaa Tiba vilivyotolewa na Jumuia hio wakishirikiana na Shirika la H,H,R,D kutoka Marekani hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Wizara hio Mnazi mmoja Zanzibar. WAZIRI wa Afya Zanzibar, […]

Loading