TIMU YA MADAKTARI KUTOKA CUBA NA ZANZIBAR KUTOA TAARIFA YA TAFITI ZAO HUKO KATIKA SKULI YA AFYA MBWENI

Timu ya Madaktari kutoka CUBA na Zanzibar waliowasilisha  tafiti mbali mbali za maradhi wakiwa na Viongozi wa Serikali ya Zanzibar (aliyekaa  katikati ) , Waziri wa Afya  Hamad  Rashid(  kushoto) Waziri wa Elimu Riziki Pembe Juma  na Balozi wa CUBA  Profesa Lucas Domingo  huko Skuli ya Afya Mbweni Zanzibar Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed imesema […]

SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR NA SERIKALI YA JAMHURI YA CUBA IMESAINI MKATABA WA UIMARISHAJI HUDUMA ZA AFYA ZANZIBAR

Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed na Balozi wa Cuba Professor Lucas Domingo Hernandez  wamesaini Mkataba wa uimarishaji huduma za afya kwa wananchi wa  Zanzibar, Hafla hiyo imefanyika  huko Ofisini kwake Wizara ya Afya Mnazimmoja Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Cuba imetiliana saini  mkataba wa uimarishaji  wa huduma za Afya […]

Loading