UTIAJI SAINI YA MAKUBALIANO KATI YA WIZARA YA AFYA NA HOSPITALI YA MOI KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA YA MIFUPA

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Asha Ali Abdallah na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa ya MOI Dkt. Respicious Boniface wakibadilishana hati  baada ya kutia saini  makubaliano  ya wagonjwa wa Mifupa  wa Zanzibar kutibiwa Taasisi  hiyo. Hafla ya utiaji saini ilifanyika  Wizara ya Afya Mnazimmoja. Katibu Mkuu wa Wizara ya afya Asha Ali Abdalla amesema […]

Loading