WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA KUTOKA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO)

Mwakilishi wa WHO Zanzibar Dkt. Ghirmay Andemichael (kushoto) akikabidhi vifaa mbalimbali vyenyethamani zaidi ya shilingi milioni 110 kwa ajili ya kituo cha kuratibu maradhi ya mripuko ikiwemo (COVID -19) kwa Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Jamala Adam Taib, hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja Zanzibar Wizara ya  Afya Zanzibar imepokea msaada wa vifaa […]

WADAU WA AFYA ZANZIBAR WAKUTANA KUTATHMINI ATHARI NA MATOKEO YA KIAFYA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi. Halima Maulid akifungua warsha ya wadau wa kutathmini athari za matukio ya Kiafya uliofanyika katika ukumbi wa Kitengo Shirikishi cha Afya ya Uzazi na Watoto Kidongochekundu Mjini Zanzibar. WIZARA ya Afya imesema suala la kukabiliana na Majanga si la Wizara ya Afya pekeake linahitaji mashirikiano na taasisi […]

Loading