WIZARA YA AFYA YATOA DAWA ZA KULINDA NGOZI YA WATU WENYE UALBINO

Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohamed akimkabidhi Mkurugenzi wa Jumuiya ya Watu wenye ualbino Zanzibar Ussi Khamis dawa za kulinda ngozi kwa wanachama wa Jumuiya hiyo katika hafla iliyofanyika ofisini kwa waziri Mnazimmoja Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashidi Mohamed ameitaka Jumuia ya Watu wenye ualbino Zanzibar kufanya uhakiki wa kina kujua taarifa ya […]

Loading