ZANZIBAR KUZINDUA ZOEZI LA KUPIGA DAWA YA MALARIA MAJUMBANI TAREHE 15 MWEZI HUU.

Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Dk. Fadhil Abdalla akielezea mauzui ya upiga dawa majumbani katika Mkutano wa Naibu Waziri wa Afya Harusi Said Suleiman na wandishi wa habari uliofanyika Ofisi za malaria Mwanakwerekwe Wizara ya Afya Zanzibar itazindua zoezi la siku kumi la kupiga dawa ya majumbani ya kuulia viluilui vya Malaria tarehe 13 […]

MKURUGENZI KINGA NA ELIMU YA AFYA AZUNGUMZA NA WAANDISHI ZANZIBAR.

Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Dk,Fadhill Mohamed Abdalla akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Tahadhari zilizochukuliwa kujikinga na Maradhi ya Corona yaliozuka katika Nchi ya China hafla iliofanyika Ofisini kwake Wizara ya Afya Mnazimmoja Zanzibar Wananchi wametakiwa kufika katika Vituo vya Afya kwa ajili ya uchunguzi na kupatiwa matibabu mara watapobaini kuwa na […]

Loading