MKUTANO WA 11 WA KUTATHMINI SEKTA YA AFYA WAFUNGWA ZANZIBAR
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Asha Ali Abdulla akitoa hotuba ya ufungaji wa Mkutano wa 11 wa kutathmini Sekta ya Afya katika ukumbi wa Verde Hotel Zanzibar. Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Wizara ya Nchi Afisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ zitaendelea kujenga Nyumba za kuishi […]