KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA ASAINI MKATBA WA MATIBABU YA MOYO TAASISI YA JAKAYA KIKWETE

Wazara wa Afya, Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto imetia saini Mkataba wa Makubaliano  na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete,  yanayohusisha upelekaji wa wagonjwa wa moyo wanaotoka Zanzibar  kupatiwa matibabu katika Taasisi hiyo. Mkataba huo ulisainiwa na Katibu Mkuu wa  Wazara wa Afya, Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto Zanzibar na Kiongozi […]

Ujumbe wa Maendeleo na Utetezi Duniani wakutana na Waziri wa Afya Zanzibar

Ujumbe wa Maendeleo na Utetezi Duniani (Global Development and Advocacy) umesema utaendeleza mashirikiano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika sekta ya afya ili kuhakikisha athari za maradhi yasioambukiza zinapungua nchini.  Hayo ameyasema Mkuu wa Maendeleo na Utetezi Duniani Mr.Bent Lautrup – Nielsen kutoka Denmark wakati akizungumza na Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee,Jinsia […]

Mkutano wa Kitaalamu wa Kisayansi wa kujadili maradhi mbali mbali ya kina Mama

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesema inajivunia kuwepo kwa madaktari wa kichina katika kusaidia matibabu ya magonjwa mbalimbali. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mkuu Wizara ya Afya Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Dkt Abdallah Ali Suleiman kwa niaba ya Waziri wa Afya Mhe. Nassor Ahmed Mazrui huko Hospitali ya Mnazi Mmoja wakati akifungua Mkutano wa […]

WAZIRI MAZRUI AKUTANA NA JUMUIYA YA UCHUNGUZI WA VINASABA VYA BINAADAMU TANZANIA

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesema itashirikiana Jumuiya ya Uchunguzi wa Vinasaba vya Binaadamu ili kugundua maradhi yanayotokana na vinasaba hivyo ili kuyapatia ufumbuzi. Ameyasema hayo Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui huko Ofisini kwake Mnazi Mmoja, wakati alipotembelewa na Ujumbe kutoka katika Jumuiya ya Vinasaba vya Binaadamu Tanzania, […]

Loading