WAANDISHI WA HABARI WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU CHANJO YA KIPINDUPINDU DOZI YA PILI
Msimamizi wa Chanjo ya Kipindupindu Unguja Dkt. Fadhil Mohammed Abdalla amesema chanjo ya kipindupindu haina mahusiano na chanjo ya corona 19 na wala haina madhara yoyote kwa binadamu. Hayo ameyasema huko Ukumbi wa Sanaa Rahaleo wakati alipokuwa akitoa mafunzo kwa Waandishi wa Habari kuhusu Umuhimu wa kumaliza Dozi ya Pili ya chanjo hiyo Amesema chanjo […]